Change Tanzania's Avatar

Change Tanzania

@changetanzania.bsky.social

This is #ChangeTanzania movement of citizens exercising their right to #FreedomOfExpression | for activism contact via WhatssApp & Telegram +1 (862) 438-3337

156 Followers  |  7 Following  |  11 Posts  |  Joined: 05.07.2023  |  1.6109

Latest posts by changetanzania.bsky.social on Bluesky

Post image Post image

Kuna umuhimu gani kwa Askari magereza kufanya mambo kama mahakamani kwenye kesi ya Lissu. ?

16.06.2025 09:35 β€” πŸ‘ 3    πŸ” 2    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 0
Post image

-- Lissu amewataka mawakili wa serikali kutoa nyaraka wanapojibu amri za mahakama na sio kuja na maneno tu wakati mahakama ilitoa amri na ilitakiwa kujibiwa hiyo amri kwanza na sio wakili kufika na kukimbilia kusema kesi imehairishwa

16.06.2025 09:34 β€” πŸ‘ 2    πŸ” 2    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 0
Post image

-- Kuanzia sasa Lissu atakuwa akijiwakilisha yeye mwenyewe mahakamani mawakili wake 30 amewaondoa mpaka atakapoona vinginevyo

16.06.2025 09:33 β€” πŸ‘ 2    πŸ” 1    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 0
Post image

-- Serikali imesema upelelezi umekamilika, kwa sasa jalada liko kwa DPP, ila itachukua DPP wiki mbili kusoma Jalada na kumaliza kisha kutoa maamuzi kama wanaendelea na kesi mahakama kuu au hapana hii ni baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi 15

16.06.2025 09:32 β€” πŸ‘ 4    πŸ” 1    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 0
Post image

--Hakimu amepuuza maombi ya mawakili wa Lissu kuhusu hali yake magereza, haki nyingi zinavunjwa na haki anajibu hana nguvu ya kuingilia shughuli za magereza, kisheria Mahakama ndiye yenye amri na dhamana ya mahabusu wote, na hakimu anawajibu wa kutembelea magereza kujua mazingira na hali ya wafungwa

16.06.2025 09:32 β€” πŸ‘ 2    πŸ” 1    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 1

3/

-- Lissu amekosa haki ya kuonana na mawakili wake, kila anayeonana na Lissu lazima kuwe na askari anasikiliza, hivyo ameshindwa kufanya kazi na mawakili wake sababu hakuna faragha, kuanzia sasa atajaribu kujiwakilisha sababu mawakili wanadhibitiwa na Bwana Jela

16.06.2025 09:31 β€” πŸ‘ 1    πŸ” 0    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 0

2/
-- Lissu amekosa sehemu ya kufanya mazoezi, anapita sehemu ya maji machafu yenye utelezi ambayo anaweza kuanguaka kutokana na mguu wake mmoja kuwa Mbovu

16.06.2025 09:30 β€” πŸ‘ 1    πŸ” 0    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 0
Post image

Thread

Mahakama leo imeambiwa yafuafutayo kwenye kesi ya Lissu , Hii ni kwa ile Kesi ya Uhaini tu

-- Lissu anaishi na wafungwa wanaosubiria Kunyongwa, analindwa na askari wawili usiku na mchana

-- Lissu ameondolewa haki zote za kuhabu toka amekwenda magereza, wafungwa wengine wote wanaruhusiwa

16.06.2025 09:29 β€” πŸ‘ 2    πŸ” 4    πŸ’¬ 7    πŸ“Œ 0
Preview
WhatsApp Channel WhatsApp Channel. . 0 followers

Harakati katika kulikomboa Taifa, ushiriki wetu sote ni muhimu, Jiunge na magroup haya

Wenye Nchi Wananchi channel on WhatsApp: whatsapp.com/channel/0029...
Maria na spaces chat.whatsapp.com/F6Nff99d5gIG...

Follow the Change Tanzania channel on WhatsApp: whatsapp.com/channel/0029...

15.06.2025 21:03 β€” πŸ‘ 3    πŸ” 2    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 0

Congressman Scott Perry argues that "the government and political system of Somaliland already operates independently of Mogadishu, the unstable, conflict-ridden and fractured capitol city of Somalia."

13.06.2025 19:49 β€” πŸ‘ 3    πŸ” 2    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 0
Post image Post image

U.SπŸ‡ΊπŸ‡Έ Congressman Scott Perry(Pennsylvania) has introduced the Republic of #Somaliland Independence Act, legislation formally recognizing Somaliland as a separate, independent nation.

The legislation authorizes President of the United States to formally recognize Somaliland as an independent nation.

13.06.2025 19:49 β€” πŸ‘ 2    πŸ” 1    πŸ’¬ 1    πŸ“Œ 0
Preview
WhatsApp Channel WhatsApp Channel. . 0 followers

Harakati kulikomboaTanzania, ushiriki na umoja wetu ni muhimu, Jiunge na magroup ya Mijadala

Kwa Harakati Follow the Wenye Nchi Wananchi WhatsApp: whatsapp.com/channel/0029...

na Maria spaces chat.whatsapp.com/F6Nff99d5gIG...

Change Tanzania channel on WhatsApp: whatsapp.com/channel/0029...

15.06.2025 20:59 β€” πŸ‘ 0    πŸ” 1    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 0
Preview
Happening now: Kwa nini #NoReformsNoElection na Oktoba hatutiki? Maria Sarungi Tsehai’s Space Β· 607 listening Β· Where live audio conversations happen

Kwa nini #NoReformsNoElection na Oktoba hatutiki?

LIVE

#NoReformsNoElection x.com/i/spaces/1nA...

12.06.2025 18:58 β€” πŸ‘ 0    πŸ” 0    πŸ’¬ 0    πŸ“Œ 0
Post image

#ChangeTanzania

05.07.2023 10:15 β€” πŸ‘ 10    πŸ” 4    πŸ’¬ 1    πŸ“Œ 0

@changetanzania is following 6 prominent accounts